3 Kwa maana ningetamani mimi mwenyewe nitenganishwe na Kristo, niwe aliyelaaniwa kwa ajili ya ndugu zangu, watu wangu wa ukoo kulingana na mwili, 4 ambao ni Waisraeli. Wao ndio waliofanywa kuwa wana+ na kupewa utukufu na maagano+ na Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi.+