20 Baada ya kusikia jambo hilo, wakaanza kumtukuza Mungu, lakini wakamwambia: “Ndugu, unaona jinsi ambavyo maelfu ya Wayahudi wamekuwa waamini, na wote wanafuata Sheria kwa bidii.+
14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika taifa langu, kwa maana nilikuwa na bidii zaidi kwa ajili ya mapokeo ya baba zangu.+