Waefeso 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa. Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu.
7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu.