14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo kitambaa kilekile kinadumu bila kuondolewa agano la zamani linaposomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+ 15 Kwa kweli, mpaka leo kila mara maandishi ya Musa yanaposomwa,+ kitambaa hukaa juu ya mioyo yao.+