Isaya 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani ambaye ameipima* roho ya Yehova,Na ni nani anayeweza kumfundisha akiwa mshauri wake?+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu, naye hufanya kulingana na mapenzi yake mwenyewe miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakaaji wa dunia. Na hakuna yeyote anayeweza kumzuia*+ au kumuuliza, ‘Umefanya nini?’+
35 Wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu, naye hufanya kulingana na mapenzi yake mwenyewe miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakaaji wa dunia. Na hakuna yeyote anayeweza kumzuia*+ au kumuuliza, ‘Umefanya nini?’+