2 Timotheo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lihubiri neno;+ fanya hivyo kwa uharaka katika nyakati zinazofaa na nyakati ngumu; karipia,+ kemea, himiza, kwa subira yote na ustadi wa kufundisha.+
2 Lihubiri neno;+ fanya hivyo kwa uharaka katika nyakati zinazofaa na nyakati ngumu; karipia,+ kemea, himiza, kwa subira yote na ustadi wa kufundisha.+