Waroma 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, sasa, kwa vile mliwekwa huru kutoka katika dhambi na kuwa watumwa wa Mungu, mnazaa matunda katika utakatifu,+ na mwisho ni uzima wa milele.+
22 Hata hivyo, sasa, kwa vile mliwekwa huru kutoka katika dhambi na kuwa watumwa wa Mungu, mnazaa matunda katika utakatifu,+ na mwisho ni uzima wa milele.+