1 Petro 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana inakubalika ikiwa mtu anavumilia taabu* na kuteseka isivyo haki kwa sababu ya dhamiri kwa Mungu.+ 1 Petro 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika kila jambo ambalo wanasema vibaya dhidi yenu, wale wanaosema vibaya dhidi yenu waaibishwe+ kwa sababu ya mwenendo wenu mzuri mkiwa wafuasi wa Kristo.+
19 Kwa maana inakubalika ikiwa mtu anavumilia taabu* na kuteseka isivyo haki kwa sababu ya dhamiri kwa Mungu.+
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika kila jambo ambalo wanasema vibaya dhidi yenu, wale wanaosema vibaya dhidi yenu waaibishwe+ kwa sababu ya mwenendo wenu mzuri mkiwa wafuasi wa Kristo.+