Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.”

  • Matendo 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa sababu hiyo sikuzote ninajitahidi kudumisha dhamiri safi* mbele za Mungu na wanadamu.+

  • 1 Timotheo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki.

  • 1 Timotheo 1:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwanangu Timotheo, ninakukabidhi agizo hili,* ili kulingana na unabii uliotolewa kukuhusu, uendelee kupigana vita vizuri,+ 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupilia mbali na hivyo imani yao ikavunjika.

  • 1 Timotheo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 wakiishika siri takatifu ya imani kwa dhamiri safi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki