Matendo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.” Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa sababu hiyo sikuzote ninajitahidi kudumisha dhamiri safi* mbele za Mungu na wanadamu.+ 1 Timotheo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki. 1 Timotheo 1:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwanangu Timotheo, ninakukabidhi agizo hili,* ili kulingana na unabii uliotolewa kukuhusu, uendelee kupigana vita vizuri,+ 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupilia mbali na hivyo imani yao ikavunjika. 1 Timotheo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakiishika siri takatifu ya imani kwa dhamiri safi.+
23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.”
5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki.
18 Mwanangu Timotheo, ninakukabidhi agizo hili,* ili kulingana na unabii uliotolewa kukuhusu, uendelee kupigana vita vizuri,+ 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupilia mbali na hivyo imani yao ikavunjika.