Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki.

  • 1 Timotheo 1:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwanangu Timotheo, ninakukabidhi agizo hili,* ili kulingana na unabii uliotolewa kukuhusu, uendelee kupigana vita vizuri,+ 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupilia mbali na hivyo imani yao ikavunjika.

  • 2 Timotheo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu kama mababu zangu walivyofanya, na nikiwa na dhamiri safi, siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu usiku na mchana.

  • 1 Petro 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika kila jambo ambalo wanasema vibaya dhidi yenu, wale wanaosema vibaya dhidi yenu waaibishwe+ kwa sababu ya mwenendo wenu mzuri mkiwa wafuasi wa Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki