Waroma 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yule anayekula asimdharau yule asiyekula, na yule asiyekula asimhukumu yule anayekula,+ kwa maana Mungu amemkaribisha. 1 Wakorintho 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+
3 Yule anayekula asimdharau yule asiyekula, na yule asiyekula asimhukumu yule anayekula,+ kwa maana Mungu amemkaribisha.
11 Basi, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+