Matendo 21:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini siku iliyofuata Paulo akaingia pamoja nasi kwa Yakobo,+ na wazee wote walikuwapo. 19 Akawasalimu na kuanza kusimulia kirefu mambo ambayo Mungu alifanya miongoni mwa mataifa kupitia huduma yake.
18 Lakini siku iliyofuata Paulo akaingia pamoja nasi kwa Yakobo,+ na wazee wote walikuwapo. 19 Akawasalimu na kuanza kusimulia kirefu mambo ambayo Mungu alifanya miongoni mwa mataifa kupitia huduma yake.