14 Simioni+ amesimulia kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+
7 Badala yake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokabidhiwa kwa ajili ya wale waliotahiriwa—