Wagalatia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa* neno na ashiriki katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo.*+ Waebrania 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+
6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa* neno na ashiriki katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo.*+
16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+