1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, Wafilipi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayakubali na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo,+ na Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayakubali na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo,+ na Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.