Matendo 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, baada ya kukaa siku kadhaa, Paulo aliwaaga akina ndugu naye akasafiri baharini kwenda Siria, pamoja na Prisila na Akila. Alikuwa amekata nywele zake huko Kenkrea,+ kwa sababu alikuwa ameweka nadhiri.
18 Hata hivyo, baada ya kukaa siku kadhaa, Paulo aliwaaga akina ndugu naye akasafiri baharini kwenda Siria, pamoja na Prisila na Akila. Alikuwa amekata nywele zake huko Kenkrea,+ kwa sababu alikuwa ameweka nadhiri.