1 Wakorintho 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Makutaniko ya Asia yanawatumia salamu zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu kwa moyo mkunjufu katika Bwana. Wakolosai 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wapeni salamu zangu ndugu huko Laodikia na pia msalimuni Nimfa na kutaniko lililo katika nyumba yake.+ Filemoni 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipo+ mwanajeshi mwenzetu, na kwa kutaniko lililo katika nyumba yako:+
19 Makutaniko ya Asia yanawatumia salamu zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu kwa moyo mkunjufu katika Bwana.
15 Wapeni salamu zangu ndugu huko Laodikia na pia msalimuni Nimfa na kutaniko lililo katika nyumba yake.+
2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipo+ mwanajeshi mwenzetu, na kwa kutaniko lililo katika nyumba yako:+