Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 52:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Basi nifanye nini hapa?” auliza Yehova.

      “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bila malipo.

      Wale wanaowatawala wanaendelea kupiga mayowe ya ushindi,”+ asema Yehova,

      “Na daima, mchana kutwa, jina langu linavunjiwa heshima.+

  • Ezekieli 36:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini walipoingia katika mataifa hayo, watu walilichafua jina langu takatifu+ kwa kusema hivi kuwahusu: ‘Hawa ndio watu wa Yehova, lakini walilazimika kutoka katika nchi yake.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki