Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “watu wanalikufuru jina la Mungu miongoni mwa mataifa kwa sababu yenu,” kama ilivyoandikwa.+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
24 Kwa maana “watu wanalikufuru jina la Mungu miongoni mwa mataifa kwa sababu yenu,” kama ilivyoandikwa.+