9 Basi, je, furaha hiyo huja tu kwa watu waliotahiriwa au pia kwa watu wasiotahiriwa?+ Kwa maana tunasema: “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ 10 Basi, ilihesabiwa kuwa uadilifu chini ya hali gani? Alipokuwa ametahiriwa au kabla ya kutahiriwa? Ni kabla ya kutahiriwa.