51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+
3 Kwa maana sisi ndio wenye tohara ya kweli,+ sisi tunaotoa utumishi mtakatifu kupitia roho ya Mungu na tunaojisifu katika Kristo Yesu+ na ambao uhakika wetu hautegemei mwili,