4 Kwa maana mtu mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” naye mwingine anasema, “Mimi ni wa Apolo,”+ je, hamfanyi kama wanadamu tu?
5 Basi, Apolo ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Wahudumu+ ambao kupitia wao mlikuja kuwa waamini, kama vile Bwana alivyomwezesha kila mmoja.