12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,”* “Lakini mimi ni wa Kristo.”
5 Basi, Apolo ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Wahudumu+ ambao kupitia wao mlikuja kuwa waamini, kama vile Bwana alivyomwezesha kila mmoja. 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikuza,