Matendo 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sasa kwa nini unakawia? Simama, ubatizwe na uoshe dhambi zako+ kwa kuliitia jina lake.’+ Waebrania 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+