Kutoka 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ikiwa ataoa mke mwingine, hapaswi kumpunguzia mke huyo wa kwanza chakula, mavazi, na haki yake ya ndoa.+ 1 Wakorintho 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msiwe mkinyimana ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa, ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu kwa sababu mnakosa kujizuia.*
10 Ikiwa ataoa mke mwingine, hapaswi kumpunguzia mke huyo wa kwanza chakula, mavazi, na haki yake ya ndoa.+
5 Msiwe mkinyimana ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa, ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu kwa sababu mnakosa kujizuia.*