39 Mke amefungwa kwa muda wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+ 40 Lakini kwa maoni yangu, mwanamke huyo atakuwa na furaha zaidi akibaki kama alivyo; na ninafikiri mimi pia nina roho ya Mungu.