Mathayo 19:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wanafunzi wakamwambia: “Ikiwa hali iko hivyo kati ya mtu na mke wake, ni afadhali mtu asioe.” 11 Yesu akawaambia: “Si watu wote wanaolipa nafasi jambo hilo, ila tu wale walio na zawadi.+
10 Wanafunzi wakamwambia: “Ikiwa hali iko hivyo kati ya mtu na mke wake, ni afadhali mtu asioe.” 11 Yesu akawaambia: “Si watu wote wanaolipa nafasi jambo hilo, ila tu wale walio na zawadi.+