Waroma 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na akawa hai tena, ili awe Bwana juu ya waliokufa na walio hai pia.+ Waefeso 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini tukisema ukweli, kupitia upendo na tuendelee kukua katika mambo yote ndani ya Kristo, ambaye ni kichwa.+ Wakolosai 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi mmepata ujazo kupitia kwake, yule aliye kichwa cha serikali na mamlaka yote.+
9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na akawa hai tena, ili awe Bwana juu ya waliokufa na walio hai pia.+
15 Lakini tukisema ukweli, kupitia upendo na tuendelee kukua katika mambo yote ndani ya Kristo, ambaye ni kichwa.+