Waroma 12:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+
4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+