Mathayo 22:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Akamwambia: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+ Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo haumfanyii uovu jirani;+ kwa hiyo, upendo ndio utimizo wa sheria.+
37 Akamwambia: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+