Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na wenye hekima atakuwa na hekima,+Lakini anayeshirikiana na wapumbavu ataumia.+ 1 Wakorintho 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kujisifu kwenu hakufai. Je, hamjui kwamba chachu* kidogo huchachisha donge lote?+