Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 2:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi mkaribisheni kama ilivyo desturi katika Bwana kwa shangwe yote, nanyi mwendelee kuwaheshimu sana watu wa namna hiyo,+ 30 kwa kuwa alikaribia kufa kwa sababu ya kazi ya Kristo,* akihatarisha uhai wake,* ili ajazie kutokuwapo kwenu hapa kunitolea utumishi wa kibinafsi.+

  • 1 Wathesalonike 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa tunawaomba, akina ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu na wanaowasimamia katika Bwana na kuwaonya ninyi;

  • 1 Timotheo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wazee wanaosimamia kwa njia nzuri+ wanastahili heshima mara mbili,+ hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki