Waroma 8:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa sababu kukaza akili kwenye mwili humaanisha uadui na Mungu, kwa kuwa mwili haujitiishi kwa sheria ya Mungu,+ nao kwa kweli hauwezi kujitiisha. 8 Basi wale wanaopatana na mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
7 kwa sababu kukaza akili kwenye mwili humaanisha uadui na Mungu, kwa kuwa mwili haujitiishi kwa sheria ya Mungu,+ nao kwa kweli hauwezi kujitiisha. 8 Basi wale wanaopatana na mwili hawawezi kumpendeza Mungu.