7 Hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe tu,+ na hakuna yeyote anayekufa kwa ajili yake mwenyewe tu. 8 Kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova. Basi tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.+