-
2 Wakorintho 4:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kupitia rehema tuliyoonyeshwa, hatufi moyo. 2 Hata hivyo, tumeyakataa mambo ya kichinichini ya aibu, hatutembei kwa ujanja, au kulichanganya na kitu chochote neno la Mungu;+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi, tunajipendekeza kwa kila dhamiri ya mwanadamu machoni pa Mungu.+
-