10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+
7 Na vita vikatokea ghafla mbinguni: Mikaeli*+ na malaika zake wakapigana na yule joka, naye joka na malaika zake wakapigana nao 8 lakini hawakushinda,* wala mahali hapakupatikana tena mbinguni kwa ajili yao.