-
Waroma 15:30-32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, kupitia Bwana wetu Yesu Kristo na kupitia upendo wa roho, kwamba mjikaze pamoja nami katika kusali kwa Mungu kwa ajili yangu,+ 31 ili nikombolewe+ kutoka kwa wale wasio waamini huko Yudea na kwamba huduma yangu kwa ajili ya Yerusalemu ikubalike kwa watakatifu,+ 32 ili kwa mapenzi ya Mungu nije kwenu nikiwa na shangwe na kuburudishwa pamoja nanyi.
-