11 Ninyi pia mnaweza kutusaidia kwa kutoa dua kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani kwa ajili yetu kwa kibali tunachopokea kwa sababu ya majibu ya sala za wengi.*+
3 Wakati huohuo, salini pia kwa ajili yetu,+ ili Mungu afungue mlango kwa ajili ya neno ili tutangaze siri takatifu kumhusu Kristo, ambayo kwa ajili yake nimefungwa gerezani,+