Mathayo 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yesu akamwambia: “Mbweha wana mapango na ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa binadamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”+ Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.*+
20 Lakini Yesu akamwambia: “Mbweha wana mapango na ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa binadamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”+