10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa za Mungu nilizopewa, niliweka msingi,+ nikiwa mjenzi mkuu mwenye ustadi,* hata hivyo, mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.
15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na walezi* 10,000 katika Kristo, hakika hamna baba wengi; kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+