-
Waroma 16:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+ 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa hamu* yao wenyewe, na kwa maneno laini na maneno ya kusifusifu wao huishawishi mioyo ya wasiotambua.
-