4 Basi tulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake,+ ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+
18 Kwa maana Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kwa ajili ya dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu.+ Aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+