-
2 Wakorintho 7:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kwa maana hata kama niliwahuzunisha kwa barua yangu,+ sijuti kuhusu jambo hilo. Ingawa mwanzoni nilijuta (nilipoona kwamba barua hiyo iliwahuzunisha, ingawa ni kwa muda mfupi tu), 9 sasa ninashangilia, si kwa sababu mlihuzunishwa tu, bali kwa sababu mlihuzunishwa hivi kwamba mkatubu. Kwa maana mlihuzunishwa kwa njia ya kimungu, kwa hiyo hamkupata madhara kwa sababu yetu.
-