6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.
23 Na mnapaswa kuendelea kufanywa upya katika nguvu zinazoongoza akili zenu,*+24 na mnapaswa kuvaa utu mpya+ ulioumbwa kupatana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli na ushikamanifu.