1 Wakorintho 15:43, 44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika utukufu.+ Hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu.+ 44 Hupandwa ukiwa mwili wa nyama; hufufuliwa ukiwa mwili wa roho. Ikiwa kuna mwili wa nyama, basi kuna mwili wa roho pia. Wafilipi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo+ na kifo ni faida.+
43 Hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika utukufu.+ Hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu.+ 44 Hupandwa ukiwa mwili wa nyama; hufufuliwa ukiwa mwili wa roho. Ikiwa kuna mwili wa nyama, basi kuna mwili wa roho pia.