-
Wakolosai 2:20-22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Ikiwa mlikufa pamoja na Kristo kuhusiana na mambo ya msingi ya ulimwengu,+ kwa nini mnaishi kana kwamba bado ninyi ni sehemu ya ulimwengu kwa kuendelea kujitiisha chini ya amri hizi:+ 21 “Usishike, wala usionje, wala usiguse,” 22 kuhusiana na mambo yote ambayo huangamia pamoja na matumizi yake, kulingana na amri na mafundisho ya wanadamu?+
-