4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa mwingine?+ Kwa bwana wake yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova* anaweza kumsimamisha.
10 Kwa maana lazima sisi sote tusimame* mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate malipo kulingana na mambo aliyotenda akiwa katika mwili, yawe mema au mabaya.*+