2 Wakorintho 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Yehova* ni Roho,+ na mahali palipo na roho ya Yehova,* pana uhuru.+ Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru ili tuwe na uhuru kama huo. Kwa hiyo, simameni imara,+ na msijiache mfungwe tena katika nira ya utumwa.+
5 Kristo alituweka huru ili tuwe na uhuru kama huo. Kwa hiyo, simameni imara,+ na msijiache mfungwe tena katika nira ya utumwa.+