-
1 Wakorintho 12:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kwa maana mtu mmoja hupewa maneno ya* hekima kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi kulingana na roho ileile, 9 mwingine imani+ kwa roho ileile, mwingine zawadi za uponyaji+ kwa roho hiyo moja, 10 naye mwingine hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii, mwingine utambuzi wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha* mbalimbali,+ na mwingine fasiri ya lugha.+
-