17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+
7 Enyi waume, vivyo hivyo endeleeni kukaa nao kulingana na ujuzi.* Wapeni heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa wao pia ni warithi pamoja nanyi+ wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, ili sala zenu zisizuiwe.